Viambishi nafsi ni miongoni mwa viambishi ambatizi ambavyo hupachikwa mwanzoni mwa vitenzi vya Kibantu (yaani kabla ya mzizi). Kazi kubwa ya viambishi nafsi ni kuleta upatanisho wa kisarufi. Tafiti nyingi zinaonesha kuwa viambishi vya uambatizi hutokea kabla ya mzizi wa kitenzi, tofauti na vile vya unyambulishaji vinavyobadili kategoria au maana vinavyotokea baada ya mzizi. Makala hii inachunguza nafasi ya viambishi nafsi katika kitenzi cha Kikuria (E43). Data iliyotumika ni ya maktabani, hasa kutoka kwenye chapisho la Charwi (2017) na kutoka maandiko mengine ya Kikuria. Nadharia iliyotumika ni Nadharia ya Uambatizi kama inavyoelezwa na Stump (2001), ambayo inafafanua kuwa kila neno linaloambikwa ndani ya sentensi linabeba seti ya sifa za kimofosintaksia. Makala hii imebaini kuwa viambishi hivi vinaweza kutokea kabla au baada ya mzizi wa kitenzi na havibadili kategoria au maana ya neno.
Personal pronouns are among the prefixes attached to Bantu verbs. The major role of personal pronouns is to ensure grammatical concord. Most studies show that inflectional affixes occur before the verb root, as opposed to extension affixes which change lexical categories or meanings; the latter appear after the verb root. This essay investigates the position of personal pronouns in the Kuria (E43) verb. Data were collected from published works, particularly from Charwi (2017) and from other sources of litertaure on Kuria. Affixation theory was employed as advanced by Stump (2001), which posits that each word attached within a sentence carries a set of morpho-syntactic properties. It is shown in this article that these pronouns can appear before or after the verb root and that they do not change lexical categories or meanings.
Purchase
Buy instant access (PDF download and unlimited online access):
Institutional Login
Log in with Open Athens, Shibboleth, or your institutional credentials
Personal login
Log in with your brill.com account
Cammenga, J. 2004. Igikuria Phonology and Morphology: A Bantu Language of South West Kenya and North-West Tanzania. Cologne: Rüdiger Köppe.
Charwi, M.Z. 2012. Vowel Harmony in Kuria. Journal of Education Humanities & Sciences, 1(2): 105-114.
Charwi, M.Z. 2013. Unyambulishaji na Dhana ya Uelekezi katika Lugha ya Kikuria. Kioo Cha Lugha (Journal of the Institute of Kiswahili Studies) 11: 58-77.
Charwi, M.Z. 2017. Morphosyntactic and Semantic Aspects of Verb Extension Systems in Bantu Languages: A Case Study of Kuria (E43) in Tanzania. Bayreuth: University of Bayreuth.
Endagano Ehea. 1996. Nairobi/Dodoma: Bible Society of Kenya, Bible Society of Tanzania.
Guthrie, M. 1948. The Classification of Bantu Languages. London: Oxford University Press.
Guthrie, M. 1967. Comparative Bantu: An Introduction to the Comparative Linguistics and Prehistory of the Bantu Languages. Vol 1. Farnborough: Gregg Press.
Maho, J. 2006. A Classification of the Bantu Languages: An Update of Guthrie’s Referential System. In: The Bantu Languages. D. Nurse and G. Philippson (Eds.), kur. 639-651. New York: Routledge.
Maho, J.F. 2007. The Linear Ordering of TAM/NEG Markers in the Bantu Languages. SOAS Working Paper in Linguistics 15: 213-225.
Maho, J.F. 2009. The online version of the New Updated Guthrie List. A Referential Classification of the Bantu Languages. Retrieved June 23, 2015, from NUGL Online: http://goto.glocalnet.net/mahopapers/nuglonline.pdf.
Meeussen, A.E. 1967. Bantu gramatical reconstructions. Africana Linguistica 3: 79-121.
Mwita, L.C. 2008. Verbal Tone in Kuria. Unpublished doctoral thesis. University of California, Los Angeles.
Nurse, D. and Philippson, G. (Eds.) 2006. The Bantu Languages. New York: Routledge.
Nurse, D. 2008. Tense and Aspect in Bantu. Oxford: Oxford University Press.
Onyango, O.F. 2015. Morphosyntactic analysis of the use of tense in Igikuria language: A minimalist program. International Journal of Academic Research in Progressive Education and Development 4(4): 54-64.
Rose, S.R. 2001. Tense and Aspect in Kuria. Afrikanistische Arbeitspapiere 67: 61-100.
Schadeberg, T.C. 2006. Derivation. In: The Bantu Languages. Eds. D. Nurse and G. Philippson, kur. 71-89. New York: Routledge.
Stump, G.T. 2001. Inflectional Morphology: A theory of Paradigm Structure. Cambridge: Cambridge University Press.
Whiteley, W.H. 1955. The Structure of the Kuria Verb and its Position in the Sentence. Unpublished doctoral thesis. School of Oriental and African Studies (SOAS), London.
Zacharia, M. 2011. Verb Extensions in Kuria Language: Co-occurrence and Ordering Restrictions. Unpublished MA dissertation. University of Dar es Salaam, Dar es Salaam.
All Time | Past Year | Past 30 Days | |
---|---|---|---|
Abstract Views | 1441 | 909 | 25 |
Full Text Views | 8 | 3 | 0 |
PDF Views & Downloads | 17 | 9 | 0 |
Viambishi nafsi ni miongoni mwa viambishi ambatizi ambavyo hupachikwa mwanzoni mwa vitenzi vya Kibantu (yaani kabla ya mzizi). Kazi kubwa ya viambishi nafsi ni kuleta upatanisho wa kisarufi. Tafiti nyingi zinaonesha kuwa viambishi vya uambatizi hutokea kabla ya mzizi wa kitenzi, tofauti na vile vya unyambulishaji vinavyobadili kategoria au maana vinavyotokea baada ya mzizi. Makala hii inachunguza nafasi ya viambishi nafsi katika kitenzi cha Kikuria (E43). Data iliyotumika ni ya maktabani, hasa kutoka kwenye chapisho la Charwi (2017) na kutoka maandiko mengine ya Kikuria. Nadharia iliyotumika ni Nadharia ya Uambatizi kama inavyoelezwa na Stump (2001), ambayo inafafanua kuwa kila neno linaloambikwa ndani ya sentensi linabeba seti ya sifa za kimofosintaksia. Makala hii imebaini kuwa viambishi hivi vinaweza kutokea kabla au baada ya mzizi wa kitenzi na havibadili kategoria au maana ya neno.
All Time | Past Year | Past 30 Days | |
---|---|---|---|
Abstract Views | 1441 | 909 | 25 |
Full Text Views | 8 | 3 | 0 |
PDF Views & Downloads | 17 | 9 | 0 |