Usimulizi katizi ni mbinu ya Kirasimi inayotawala riwaya za Shaaban Robert. Kupitia mbinu hii mwandishi huyu humkatiza msimuliaji katika bunilizi ili aweze kutoa fundisho fulani alilokusudia. Mbinu hii ya ukatizi imesaidia nathari hizi kutengeneza ukuruba baina ya msomaji na msimuliaji na kumfanya msomaji yeyote aweze kufuatilia kwa makini msuko na mtiririko wa visa katika bunilizi za mwandishi huyu. Kusudi la makala hii ni kuchunguza dhima anuai zinazolengwa na mwandishi kupitia mbinu hii na kubainisha namna dhima hizo zinavyosawiri makusudi ya mwandishi katika kuileta karibu hadhira yake ipate kufahamu kile anachokusudia. Ili kujua hayo, mtafiti alinukuu sehemu mbalimbali za masimulizi zinaonesha mbinu hiyo ya ukatizi kutoka katika riwaya lengwa.
Intrusive narration is a formalist literary technique which dominates Shaaban Robert’s prose. By using this method, the author interrupts the narrator intending to give certain lessons for a certain purpose. This technique provides attachment of the reader to the narrator making the reader follow closely the plot of the story in the narratives. This paper examines different purposes highlighted by the author through intrusion. To comprehend the intention of the author, different texts from works of the author have been examined, specifically in places where intrusion occurs. The aim is to understand clearly how the intrusion occurs and what is the intention of the author.
Purchase
Buy instant access (PDF download and unlimited online access):
Institutional Login
Log in with Open Athens, Shibboleth, or your institutional credentials
Personal login
Log in with your brill.com account
Baldick, C. 2008. The Oxford Dictionary of Literary Terms. Third edition. Oxford: Oxford University Press.
Bliss, M. 1963. Fielding’s Bill of Fare in Tom Jones. English Literary History 30.3: 236–243.
Bujak, N. 2016. Narrator’s Care: Intrusive Narration as Formal Caregiving. The Workshop 4 (June): 15–25.
Chuachua, R. 2016. Falsafa ya Riwaya za Shaaban Robert na Euphrase Kezilahabi katika muktadha wa Epistemolojia ya Kibantu. Tasnifu ya uzamivu. Chuo Kikuu cha Dodoma, Tanzania.
Kelchner, H. 1992. Unstable Narrative Voice in Sarah Orne Jewett’s ‘A White Heron’. Colby Quarterly 28.2 (June): 85–92.
Khatibu, K. 2015. Ufasihi Simulizi Katika Riwaya za Shaaban Robert: Mifano kutoka Adili na Nduguze na Wasifu wa Siti Binti Saad. Tasnifu ya uzamili. Chuo Kikuu Huria cha Tanzania.
Madoshi, J.P. 2015. Folk Narrative and Literature: Reflection of Utu (Humanness) in Shaaban Robert’s ‘Adili na Nduguze’. Venets: The Belogradchik Journal for Local History, Cultural Heritage and Folk Studies 6.1: 111–121.
Masawe, A. 2014. Kuchunguza Masuala ya Kisiasa Katika Riwaya za Shaaban Robert: Mfano wa Kusadikika na Kufikirika. Tasnifu ya uzamili. Chuo Kikuu Huria cha Tanzania.
Michael, T.J. 2001. Narrative: A Critical Linguistic Introduction. New York: Routledge.
Orina, M.B. 2000. Utetezi wa Maadili Katika Fasihi: Nathari ya Shaaban Robert. MA tasnifu ya umahiri. Chuo Kikuu cha Nairobi, Kenya.
Ponera, A.S. 2010. Ufutuhi Katika Nathari za Shaabani Robert: Maana yake sababu za kutumiwa na athari zake kwa wasomaji. MA tasnifu. Chuo Kikuu cha Dodoma, Tanzania.
Ponera, A.S. 2014. Ufutuhi katika nathari ya Kiswahili: Ulinganisho wa nathari za Shaaban Robert na Euphrase Kezilahabi. Tasnifu ya shahada uzamivu katika fasihi ya Kiswahili. Chuo Kikuu cha Dodoma, Tanzania.
Robert, S. 2010. Adili na Nduguze. Dar es Salaam: Mkuki na Nyota.
Robert, S. 2008. Kufikirika. Dar es Salaam: Mkuki na Nyota.
Robert, S. 1991. Kusadikika. Dar es Salaam: Mkuki na Nyota.
Roger, F. 1986. Linguistic Criticism. Oxford: Oxford University Press.
Valle, V.L. 2008. The Narrative Voice in Roald Dahl’s Children’s and Adult Books. Didactica Lengua y Literatura 20: 291–308.
Wafula, R.M. 1989. The Use of Allegory in Shaaban Robert’s Prose Works. MA thesis, University of Nairobi, Kenya.
Wolfgang, I. 1974. The Implied Reader: Patterns of Communication in Prose from Bunyan to Beckett. Baltimore: Johns Hopkins University Press.
All Time | Past Year | Past 30 Days | |
---|---|---|---|
Abstract Views | 391 | 332 | 12 |
Full Text Views | 3 | 3 | 0 |
PDF Views & Downloads | 12 | 11 | 0 |
Usimulizi katizi ni mbinu ya Kirasimi inayotawala riwaya za Shaaban Robert. Kupitia mbinu hii mwandishi huyu humkatiza msimuliaji katika bunilizi ili aweze kutoa fundisho fulani alilokusudia. Mbinu hii ya ukatizi imesaidia nathari hizi kutengeneza ukuruba baina ya msomaji na msimuliaji na kumfanya msomaji yeyote aweze kufuatilia kwa makini msuko na mtiririko wa visa katika bunilizi za mwandishi huyu. Kusudi la makala hii ni kuchunguza dhima anuai zinazolengwa na mwandishi kupitia mbinu hii na kubainisha namna dhima hizo zinavyosawiri makusudi ya mwandishi katika kuileta karibu hadhira yake ipate kufahamu kile anachokusudia. Ili kujua hayo, mtafiti alinukuu sehemu mbalimbali za masimulizi zinaonesha mbinu hiyo ya ukatizi kutoka katika riwaya lengwa.
All Time | Past Year | Past 30 Days | |
---|---|---|---|
Abstract Views | 391 | 332 | 12 |
Full Text Views | 3 | 3 | 0 |
PDF Views & Downloads | 12 | 11 | 0 |